Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Sherehe za Siku ya Mashujaa mwaka huu zitaandaliwa katika uwanja wa Ithookwe, kaunti ya Kitui Oktoba 20, 2025. Maudhui ya siku hiyo ni "Kubadilisha Maisha Kupitia Suluhu za Nishati Endelevu."