Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Maafisa wa serikali ya Nigeria, wamefanikiwa kuwaokoa wanafunzi 100 waliokuwa wametekwa kutoka shule moja ya kikatoliki mwezi uliopita. Hata hivyo wanafunzi wengine 165, bado hawajulikani waliko. Kulingana na vyanzo vya…