Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Mwanamume mmoja kati ya wanne waliotekwa nyara katika eneo la Mlolongo, kaunti ya Machakos mwezi Disemba mwaka jana amepatikana akiwa ameuawa. Mwili wa Justus Musyimi ulipatikana leo Alhamisi katika chumba…