Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Kinara wa ODM Raila Odinga ameonekana kuchukua hatua zinazolenga kuzuia kutimuliwa kwa Gavana wa Nairobi Johnson Sakaja madarakani. Raila akifanikiwa kuwaleta pamoja wawakilishi wadi wa chama cha ODM na Gavana…