Jaji Mkuu ataka jamii yote kuhusika katika kuangamiza ajira ya watoto

Kumekuwepo na visa vingi vya ajira ya watoto vilivyoripotiwa nchini Kenya na hivyo kuwanyima watoto waathiriwa haki ya kupata elimu. Wadau wanashinikiza kukomeshwa kwa visa hivyo mara moja.

Impressive Mobile First Website Builder

Ready for Core Web Vitals, Support for Elementor, With 1000+ Options Allows to Create Any Imaginable Website. It is the Perfect Choice for Professional Publishers.