Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Wakazi wa Migadini, Changamwe, kaunti ya Mombasa, wanaishi kwa hofu baada ya ugonjwa usiojulikana kusababisha vifo vya watu wanne katika hali isiyoeleweka. Kulingana na wakazi hao,miili ya waathiriwa hufura na…