Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Baadhi ya vijana kaunti ya Kitui wameanzisha mchakato wa kumbandua Gavana wa kaunti hiyo Julius Malombe. Wakiwahutubia wanahabari mjini Kitui, vijana hao walilalamikia utumizi mbaya wa fedha, ukabila na huduma…