Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rais William Ruto amesema kupatikana kwa huduma za serikali kupitia kwa mfumo wa digitali wa e-Citizen kutahakikisha Wakenya wanapata huduma bora bila mahangaiko. "Hauhitaji kumfahamu yeyote, kutembelea ofisi yoyote, kumshawishi…