Jopo la fidia lataka maagizo ya kusitisha shughuli zake kuondolewa

Mahakama Kuu ya Kerugoya ilitoa maagizo ya kusitisha shughuli za jopo hilo Jumatatu wiki hii baada ya mwanasheria Levi Munyeri kuwasilisha kesi katika mahakama hiyo kupinga uhalali wa jopo hilo. 

Impressive Mobile First Website Builder

Ready for Core Web Vitals, Support for Elementor, With 1000+ Options Allows to Create Any Imaginable Website. It is the Perfect Choice for Professional Publishers.