Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Watu 13 wameaga dunia Jumatatu kufuatia mlipuko wa kilipuzi katika eneo la Elwak,kaunti ya Mandera. Kilipuzi hicho kilikuwa kimefungwa kwenye mzigo uliobebwa na punda. 13 hao waliofariki walijumuisha watu 10…