Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Kiongozi wa nchi anasema mfumo huo utasaidia kuangamiza ufisadi na pia kuleta uwazi katika kufanya manunuzi serikalini. Mahakama imezuia matumizi ya mfumo huo kufuatia kesi iliyowasilishwa na Magavana.