Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rais William Ruto amesema kuwa serikali ilisimama na marehemu Raila Odinga, wakati akiugua na kumsaidia ilia pate matibabu bora. Akiwahutubia waombolezaji katika chuo cha sayansi na teknolojia cha Jaramogi,Ruto amesema…