Rais wa Algeria ateua Waziri Mkuu mpya

Sifi anatwaa nafasi iliyoachwa wazi na Nadir Larbaoui, aliyepigwa kalamu Alhamisi iliyopita baada ya kuhudumu tangu Novemba mwaka jana.

Dismas Otuke
0 Min Read

Rais wa Algeria Abdelmadjid Tebboune siku ya Jumapili alimteua Sifi Ghrieb, kuwa Waziri Mkuu mpya akijukumiwa kubuni serikali mpya.

Sifi anatwaa nafasi iliyoachwa wazi na Nadir Larbaoui, aliyepigwa kalamu Alhamisi iliyopita baada ya kuhudumu tangu Novemba mwaka jana.

Hata hivyo serikali haikutoa sababu zozote za kutimuliwa kwa Nadir.

Share This Article