Rais William Ruto ataongoza mnada mkubwa zaidi wa mbuzi wa Kimalel katika kaunti ya Baringo siku ya Alhamisi.
Mnada huo wa siku mbili huandaliwa kila mwaka katika eneo la Baringo Kusini.
Utakuwa mwaka wa pili mtawalia kwa Ruto kuongoza mnada.
Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.
Rais William Ruto ataongoza mnada mkubwa zaidi wa mbuzi wa Kimalel katika kaunti ya Baringo siku ya Alhamisi.
Mnada huo wa siku mbili huandaliwa kila mwaka katika eneo la Baringo Kusini.
Utakuwa mwaka wa pili mtawalia kwa Ruto kuongoza mnada.