Mazungumzo ya maridhiano yarejelewa Bomas

Dismas Otuke
0 Min Read

Mazungumzo ya maridhiano baina ya serikali na upinzani yamerejelewa siku ya Jumatatu katika ukumbi wa Bomas .

Kikao hicho kinatarajia kushuhudia pande zote mbili zikiwasilisha mapendekezo kadhaa ambayo yamejumuishwa .

Kundi la upinzani linaongozwa na kiongozi wa chama cha Wiper Kalonzo Musyoka huku upande wa serikali ukiongozwa na kiongozi wa walio wengi katika bunge la kitaifa Kimani Ichung’wah.

Share This Article