Kwa kipindi fulani katika maisha ya mwanamke huenda akawa na uvimbe katika tumbo ya mtoto au uterus. Wataalam wa afya wanadokeza kuwa ingawa tatizo hilo linaweza kutibiwa, wanawake wanaweza kudhibiti uzani na kuzingatia lishe bora ili kujiepusha na vimbe hizo ambazo wakati mwingine humzuia mwanamke kuwa na mimba.
https://art19.com/shows/daktari-wa-radio/episodes/61d5549b-a443-4e3f-955f-c2c3439c1681