Mamlaka ya ushindani nchini Kenya (CAK), imeidhinisha pendekezo la kmapuni ya Moniepoint kutwaa asilimia 78 ya hisa za benki ya Sumac.
CAK imesema kutwaliwa kwa benki ya Sumac, hakutaathiri sekta hiyo kwa vyovyote vile.
Moniepoint Inc,ni kampuni ya kibifasi iliyoanzishwa nchini Marekani na inaendesha mashirika mawili ya kifedha nchini Nigeria TeamApt Limited na Moniepoint Microfinance Bank Limited.