Thursday, 12 Feb 2026

Welcome to the official Kenya Broadcasting Corporation (KBC) News YouTube channel.

 
Explore Now
KBC Swahili
  • Kimataifa
    • Vipindi
    • Habari Kuu
    • Taifa
  • Biashara
  • Burudani
  • Kaunti
  • Michezo
  • Videos
  • Paris Olympics 2024
  • Back to KBC
  • Kimataifa
  • Taifa
  • Habari Kuu
  • Michezo
  • Kaunti
  • Burudani
  • Vipindi
  • Biashara
  • Habari za Hivi Punde
  • Makala
KBC SwahiliKBC Swahili
Font ResizerAa
  • Kimataifa
  • Biashara
  • Burudani
  • Kaunti
  • Michezo
  • Videos
  • Paris Olympics 2024
  • Back to KBC
Search
  • Kimataifa
    • Vipindi
    • Habari Kuu
    • Taifa
  • Biashara
  • Burudani
  • Kaunti
  • Michezo
  • Videos
  • Paris Olympics 2024
  • Back to KBC
Have an existing account? Sign In
Follow US
© 2022 Foxiz News Network. Ruby Design Company. All Rights Reserved.
Burudani

Baba Kaunty aondoka kwenye Obina Show

Mchekeshaji huyo sasa anaangazia uundaji wa maudhui mitandaoni.

Marion Bosire
February 11, 2025 4:03 pm
By Marion Bosire
Share
2 Min Read
SHARE

Mchekeshaji kwa jina Baba Kaunty ambaye awali alifahamika kama Mama Kaunty, amesema kwamba ameodnoka kwenye kipindi cha mitandaoni cha Obina Show.

Baba Kaunty alichapisha video mitandaoni akielezea uamuzi wake wa kujiondoa kwenye kipindi hicho akisema haukuwa uamuzi rahisi.

Kwenye video hiyo, mchekeshaji huyo alisema alikuwa akiwaza kuhusu kuondoka kwa muda wa miezi kadhaa na akasisitiza kwamba hakushurutishwa na yeyote kuondoka.

Hata ingawa hakutaka kuzungumzia suala hilo hadharani, Baba Kaunty alisema alilazimika kupaaza sauti ili kuzuia minong’ono isiyo sahihi.

Migogoro kuhusu mipangilio katika kipindi cha Obina Live ni mojawapo ya sababu ambazo zilimfanya Baba Kaunty aondoke.

Anasema kipindi hicho hupeperushwa kila Jumatatu na kuna shughuli nyingine ambazo anapaswa kufanya Jumatatu kama vile mafunzo ambayo anasema yataendelea kwa miezi mitatu.

Verydarkman asema hataweza kulipa Mercy Chinwo
Mshukiwa akiri kumuua Pope Smoke
Jaydee azindua wimbo mpya
Nyota wa TikTok wa Iraq Om Fahad auawa mjini Baghdad

Jamaa huyo alimsifia Obina akimtaja kuwa mfano wa kuigwa na ndugu ambaye alimpa fursa ya kujifunza mengi akiongeza kwamba Obina pekee ndiye anaelewa maono yake.

Baba Kaunty sasa ataangazia uundaji wa maudhui ya mitandaoni pamoja na watoto wa mtaa wa mabanda wa Kibera kupitia kwa wakfu wake uitwao Baba Kaunty Initiative.

Nafasi yake katika kipindi cha Obina imechukuliwa na binti kwa jina Pamela ambapo Baba Kaunty anasema yeye ndiye alimpendekeza na kuwasiliana naye ili achukue nafasi hiyo.

Baba Kaunty ndiye wa pili kuondoka kwenye Obina Live Show baada ya Dem wa Facebook ambaye aliamua kutozungumzia suala hilo.

TAGGED:Baba KauntyDem wa FacebookObina Show LivePamela
Share This Article
Email Copy Link Print
Previous Article Serikali yawasihi wafanyabiashara kutoka Saudia kuwekeza Kenya
Next Article Uongozi wa KBC waifariji familia ya Mambo Mbotela

You May also Like

Burudani

Mwili wa Papa Noel wazikwa Congo

March 6, 2025
Burudani

Mulamwah aamua kutumia sheria kuona mwanawe

February 6, 2024
Burudani

Pallaso asema tamasha la London litafana hata bila yeye

June 22, 2023
Burudani

Rita Edochie awatupia wahubiri swali

March 10, 2025
Show More
  • More News:
  • Kenya
  • William Ruto
  • CAF
  • Tanzania
  • President William Ruto
  • Uganda
  • DCI
  • FKF
  • Rais William Ruto
  • Nigeria
  • Israel
  • Raila Odinga
  • USA
  • Rigathi Gachagua
  • FIFA
  • Musalia Mudavadi
  • EACC
  • DRC
  • China
  • gaza
KBC Swahili

Information You Can Trust: Stay instantly connected with breaking stories and live updates. From politics and technology to entertainment and beyond, we provide real-time coverage you can rely on, making us your dependable source for 24/7 news.

Youtube Medium Rss

About Company

  • Contact Us
  • Advertise with US
  • Complaint
  • Privacy Policy
  • Cookie Policy
  • Submit a Tip

Real-time Updates on the Latest Stories!

© Kbc Swahili.  All Rights Reserved. 2025

Welcome to Foxiz
Username or Email Address
Password

Lost your password?