Rais William Ruto amesema chama cha ODM kilichoongozwa na marehemu Raila Odinga kitakuwa ndani ya serikali ijayo mwaka 2027.
Akihutubu katika mazishi ya marehemu Raila, Ruto amesema kamwe hatakubali watu wabinafsi kukitumia chama hicho kwa maslahi yao.
Ruto amefichua ili kaufikia azma ya marehemu Raila atahakikisha kuwa chama cha ODM aidhja kitabuni serikali ijayo ama kitakuwa ndani ya serikali.
Aidha Ruto kwa mara ya kwanza amemtaja Raila kuwa Rais wa wananchi.