Bunge la Ulaya lataka kuachiliwa huru kwa Lissu bila masharti

Bunge la Ulaya lataka kuachiliwa huru kwa Lissu bila masharti.

Dismas Otuke
0 Min Read
Tundu Lissu, Naibu Mwenyekiti Chadema

Bunge la Ulaya –EU, limeshinikiza kuachiliwa huru kwa kiongozi wa chama cha Demokrasia na Maendeleo – Chadema, Tundu Lissu, kuachiliwa kutoka korokoroni na serikali mara moja bila vikwazo.

Bunge hilo lililojadili hoja hiyo Mei 7, lilisikitishwa na matukio ya kisiasa nchini Tanzania, kuelekea kwa uchaguzi mwishoni mwa mwaka huu.

Aidha, limeitaka serikali kuondoa makossa ya uhaini aliyoshtakiwa nayo Lissu.

Share This Article